ACTIONS FOR FINAL GAME , (Kenyans from Atl) -0 vs Tanzanite fc -1
3 comments:
Anonymous
said...
Kwani hii mech mlichesea wapi? Naomba kueleweshwa maana sijui ni huko Marekani au ni kule kwetu Bongo ama ni wapi labda kule Afrika? Nimewapenda sana hawa wamefanya vizuri tatizo ni kuwa sina more information.
Oyah Mzee hapo juu! Ukitaka info. ziko katika website ya timu www.tanzanitefc.com chama linafanya vizuri sana na lina wachezaji wenye vipaji vizuri ambao wanauwezo wa kuisadia nchi hapo baadae. Tatizo ni udhamini hakuna. Bado tunatafuta sponsor wakuipeleka timu Bongo ili tukazinyanayse Yanga na Simba na hata Stars!
3 comments:
Kwani hii mech mlichesea wapi? Naomba kueleweshwa maana sijui ni huko Marekani au ni kule kwetu Bongo ama ni wapi labda kule Afrika? Nimewapenda sana hawa wamefanya vizuri tatizo ni kuwa sina more information.
tumechezea hapa usa
mji wa birmingham alabama.
Oyah Mzee hapo juu! Ukitaka info. ziko katika website ya timu www.tanzanitefc.com chama linafanya vizuri sana na lina wachezaji wenye vipaji vizuri ambao wanauwezo wa kuisadia nchi hapo baadae. Tatizo ni udhamini hakuna. Bado tunatafuta sponsor wakuipeleka timu Bongo ili tukazinyanayse Yanga na Simba na hata Stars!
Post a Comment